-
-
-
Tuna uza maziwa fresh na mgando
ChiefCampsite tunapatikana kwasadala hai kijiji cha mbatakero. Maziwa yetu hayana kemikali. Tuna zalishwa lita 50 kwa siku. Tunasafirisha kuleta Mosh...
-
Vitunguu
Vitunguu, bei no shillingi elf moja kwa kilo. Vinapatikana Segera njia panda ya Tanga na Korogwe
-
Nauza samaki wabichi na wana viungo ndani yake
Samaki wabichi sato,sangara,na kambale unapata Kilo 7500/= Nusu 4000/= Robo 2000/= Vipande 1000 /= Tunapatikana MBAUDA,ARUSHA-TANZANIA No.0688945430...
-
Nauza iliki
Iliki zetu ni nzuri wakulima wanalima kilimo hai Tupo Kilimanjaro Moshi mjini Tutavuna Mwezi Wa Kwanza na wapili
-
Mchele kutoka Morogolo
Karibu kwa mahitaji yako ya mchele mzuri kutoka Morogolo Tunauza jumla na rejareja(rejareja kwa watu wa morogolo).
-
Nauza Vitunguu Saumu kwa kilo
Nauza vitunguu Saumu kwa kilo kwa bei Poa kabisa, Karibuni sana wateja nauza mikoa yote kwa uaminifu mkubwa.
-
-
Nauza Maharage ya soya kwa kilo
Nauza Maharage Kwa bei poa Kabisa, Kila kilo 1 ni sh. 3,000/= .. Wahi sasa kupata ofa ya Pasaka
Featured Ads